Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » SIMBA INA MECHI NGUMU SANA KWENYE LIGI KULIKO YANGA
    KITAIFA

    SIMBA INA MECHI NGUMU SANA KWENYE LIGI KULIKO YANGA

    ChikaoBy ChikaoSeptember 2, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Mchambuzi wa soka @mzeewajambia ameandika ujumbe kuhusu kauli ya Kocha Mkuu wa Simba aliyoisema hivi karibuni ya kumuhitaji mchezaji mwingine kwenye eneo lake la ushambuliaji.

    “Juzi Fadlu Davids aliposema anahitaji xfactor Player mmoja ili Kikosi chake Kikamilike nafikiri hakueleweka Vizuri.

    Manake watu walianza Kusema Mbona ana Neo Maema,Elie Mpanzu na Bajaber? Ahoua?

    Lakini Fadlu anafahamu Vigezo vya sasa hivi ili uwe bingwa wa Ligi Kuu unahitaji Kuwa na Kikosi bora zaidi Kuliko Yanga Africa.

    Yani Kikosi chako Kikiwa sawa na au chini ya Yanga Africa ujue huna chako hapo.

    Kwasababu ni Ukweli Usiopingika Kwamba Kwenye Ligi Simba Sports anacheza Mechi nyingi ngumu Kuliko Yanga Africa”Ameandika @mzeewajambia .

    Simba SC Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMOURINHO AINGIZA BILIONI 300 KWA KUFUKIZWA
    Next Article HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 3 2025

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.