HomeKITAIFAMOURINHO AINGIZA BILIONI 300 KWA KUFUKIZWA

MOURINHO AINGIZA BILIONI 300 KWA KUFUKIZWA

Mourinho ameripotiwa kuingiza zaidi ya Tsh 300 bilioni kutokana na kutimuliwa na vilabu vinapaswa kumlipa fidia wakati wa kuvunja kandarasi mapema.

Hadhi yake kama kocha mkuu inalindwa na kipengele cha mkataba kuvunja ina maana huwa anasaini mikataba mirefu na ya hela nyingi. Tangu akiwa klabu tajiri kama Chelsea, Real Madrid na Man United, malipo hayo yamekuwa makubwa.

Sogeza kushoto kuona pesa alizolipwa kwa kuvunjiwa mkataba kwenye timu alizopita.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE