Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE
    KITAIFA

    NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE

    ChikaoBy ChikaoAugust 19, 202511 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Neymar
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Nyota wa Brazil na klabu ya Santos Neymar Jr usiku wa kuamkia leo alitoka uwanjani akimwaga machozi baada ya kukumbana na kipigo kikubwa zaidi kwenye maisha yake ya soka klabu yake ikikumbana na kipigo cha magoli 6-0 dhidi ya Vasco da Gama kwenye mchezo wa ligi kuu Nchini humo.

    Akizungumza baada ya mchezo huo nyota huyo mwenye miaka 33 aliyejiunga na klabu hiyo ya nyumbani kwao mapema mwaka huu amesema amevunjika moyo na uchezaji wa timu yake.

    “Ninajisikia aibu,nimevunjika moyo kabisa  na uchezaji wetu mashabiki wana kila haki ya kuandamana na wakitaka kulaani na kutukana wana haki hiyo” Amesema Neymar baada ya mchezo huo.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMAEMA AWAWAKIA WAANDISHI KISA PENATI ZA UGANDA
    Next Article AHMED ALLY: TULIOWATANGAZA HAWAJATOSHA, BADO VYUMA VINAKUJA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    View 1 Comment

    1 Comment

    1. Web Development Company in Kochi,Kerala on August 19, 2025 3:48 pm

      I appreciate you sharing this blog post. Thanks Again. Cool.

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.