HomeKIMATAIFAMAEMA AWAWAKIA WAANDISHI KISA PENATI ZA UGANDA

MAEMA AWAWAKIA WAANDISHI KISA PENATI ZA UGANDA

Baada ya mchezo na Uganda, nahodha wa timu ya Taifa ya Afrika Kusini, Neo Maema hakuwa na maneno mengi ya kuongea mbele ya waandishi wa habari zaidi ya kuwauliza wamejisikiaje kupata penalty mbili.

“Kwahiyo, mmejisikiaje kupewa penalty mbili ?” alinukuliwa Neo Maema, Nahodha wa timu ya Taifa ya Uganda akiongea kwa hasira kali.

Baada ya mchezo huo uliomalizika kwa sare, Afrika kusini wameaga rasmi michuano hiyo huku Uganda wakitinga hatua ya mtoano.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE