Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » MAEMA AWAWAKIA WAANDISHI KISA PENATI ZA UGANDA
    KIMATAIFA

    MAEMA AWAWAKIA WAANDISHI KISA PENATI ZA UGANDA

    ChikaoBy ChikaoAugust 19, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Neo Maema
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Baada ya mchezo na Uganda, nahodha wa timu ya Taifa ya Afrika Kusini, Neo Maema hakuwa na maneno mengi ya kuongea mbele ya waandishi wa habari zaidi ya kuwauliza wamejisikiaje kupata penalty mbili.

    “Kwahiyo, mmejisikiaje kupewa penalty mbili ?” alinukuliwa Neo Maema, Nahodha wa timu ya Taifa ya Uganda akiongea kwa hasira kali.

    Baada ya mchezo huo uliomalizika kwa sare, Afrika kusini wameaga rasmi michuano hiyo huku Uganda wakitinga hatua ya mtoano.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleAZAM FC KUANZA KAZI LEO RWANDA MECHI DHIDI YA APR FC
    Next Article NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE

    Related Posts

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.