HomeKIMATAIFATimu ya Ubelgiji yahitaji saini ya Odhiambo

Timu ya Ubelgiji yahitaji saini ya Odhiambo

Klabu ya Royal Charelorioi ya nchini Ubelgiji imetuma ofa ya USD 750,000 (Tsh Bilioni 1.9) kwenda kwenye klabu ya Gor Mahia ya Kenya ili kuinasa saini ya kiungo mshambuliaji wa klabu hiyo na timu ya Taifa ya Kenya Austin Othiambo.

Gor Mahia bado hawaijibu ofa hiyo.Lakini kwa mujibu wa tetesi zinaeleza kuwa huenda miamba hiyo ya Kenya ikamruhusu nyota huyo kuondoka baada ya michuano ya CHAN.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE