HomeKITAIFAZAHERA AFUNGUKA ALIKATAA MZIZE ASIENDE SINGIDA

ZAHERA AFUNGUKA ALIKATAA MZIZE ASIENDE SINGIDA

“Yanga walishataka kumpeleka Clement Mzize huko Singida kwa mkopo na tayari walishamuingiza kwenye Mfumo ‘system’ ya TFF ila ni mimi nikamwambia Nabi usikubali huyo Mtoto aende Singida.”

“Walitaka kumtoa wakati hajafanya hata mazoezi na timu kubwa.Hata Marseille walipotuma barua kumtaka, wao wakasema tumpeleke Singida tu maana Wachezaji watapatikana wengine”

Mwinyi Zahera, Kocha wa zamani wa Young Africans kuhusu sakata la Mzize alipoihojiwa na Kituo cha ITV

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE