HomeKITAIFAMKAZUZU “GHAFLA TANZANIA TUMEJIVUA VYEO”

MKAZUZU “GHAFLA TANZANIA TUMEJIVUA VYEO”

Mchezo wa Madagascar na Afrika ya Kati umemalizika kwa

Madagascar kushinda 2-0.

Masikitiko makubwa ni namna mashabiki wa soka Tanzania hususani Dar es Salaam walivyojikausha kujitokeza viwanjani hususani kwenye mechi za wageni na kuibua sura mpya ya mapenzi ya soka kwa Watanzania kama ambavyo wageni walivyokuwa wanatutazama kwenye mechi za vilabu za kimataifa.

Kutojitokeza kwa wingi kwa mashabiki kunatupunguzia credit kuelekea michuano mikubwa zaidi ya Afcon.

Jumamosi Taifa Stars inacheza naomba tujitokeze kwa wingi tuje tuweke rekodi ya kumaliza makundu bila kufungwa na kuongoza kundi huku Kenya akijichanganya tuje tumnyoe robo fainali.

Binafsi nimenunua tiketi 100 nitazozigawa kwa mashabiki kuunga mkono michuano ya CHAN na Stars.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE