Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » GREALISH ATAMBULISHWA RASMI EVERTON
    KIMATAIFA

    GREALISH ATAMBULISHWA RASMI EVERTON

    ChikaoBy ChikaoAugust 13, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Everton wametangaza kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji Jack Grealish kwa mkopo kutoka Manchester City.

    Mwingereza huyo mwenye umri wa miaka 29 ataitumikia The Toffees msimu mzima wa 2025/26 na atavaa jezi namba 18. Grealish, ambaye ameshinda mataji makubwa akiwa na City ikiwemo Ligi Kuu mara tatu, Kombe la FA mara mbili, Ligi ya Mabingwa, UEFA Super Cup na Kombe la Dunia la Klabu, anakuwa mchezaji wa sita kusajiliwa na David Moyes majira haya ya joto baada ya kuwasili kwa Charly Alcaraz, Thierno Barry, Mark Travers, Adam Aznou na Kiernan Dewsbury-Hall.

    Akihojiwa na Everton Tv, Grealish alisema: “Nimefurahi sana kusaini Everton. Ni jambo kubwa kwangu, kwa kweli. Hii ni klabu kubwa yenye mashabiki wakubwa. Nilipozungumza na kocha, nilijua hakuna sehemu nyingine ningependa kwenda. Mashabiki wamekuwa wakinitumia ujumbe mwingi wa kunikaribisha, na hiyo pia ilinifanya nichague kujiunga na Everton. Asanteni kwa upendo na sapoti, natumai nitawalipa kwa kile nitakachotoa uwanjani.”

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleCAF YATOZA KENYA FAINI YA MILIONI 127, YAONYA KUHAMISHIA MECHI NJE
    Next Article ZAHERA AFUNGUKA ALIKATAA MZIZE ASIENDE SINGIDA

    Related Posts

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.