HomeKITAIFASababu ya Feitoto Kuikosa Mechi Dhidi ya Nigeria Leo

Sababu ya Feitoto Kuikosa Mechi Dhidi ya Nigeria Leo

Timu ya taifa Tanzania ‘Taifa Stars’ leo itamkosa Kiungo wake tegemezi Feisal Salum ‘Feitoto’ baada ya kupata kadi za njano kwenye michezo ya mwisho ya Taifa Stars kuwania kufuzu makala haya ya Kombe la mataifa Afrika AFCON 2025.

Feitoto alipata kadi za njano kwenye mechi dhidi ya Guinea na DR Congo.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE