Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป TAKWIMU YA ROMAIN FOLZ KATIKA MECHI 6 AKIWA YANGA
    KITAIFA

    TAKWIMU YA ROMAIN FOLZ KATIKA MECHI 6 AKIWA YANGA

    ChikaoBy ChikaoOctober 5, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    yanga folz
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    WAKATI tetesi zikieleza kuwa huenda Romain Folz akafutwa kazi ndani ya kikosi cha Yanga SC rekodi zinaonyesha kuwa amekiongoza kikosi kwenye mechi 6.

    Katika mechi hizo ushini ni mechi tano na aliambua sare mchezo mmoja wa ligi ugenini dhidi ya Mbeya City uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya.

    Sababu kubwa inayotajwa kumuondoa Folz kwenye benchi la ufundi ni timu kucheza katika kiwango cha chini katika mechi za ushindani.

    Hizi hapa rekodi za mechi ambazo alikaa benchi ndani ya msimu wa 2025/26 mrithi wa mikoba ya Miloud Hamdi:-

    Yanga 1-0 Bandari ya Kenya. (Mechi ya kirafiki)

    Yanga SC 1-0 Simba SC, (Ngao ya Jamii).
    Wiliete 0-3 Yanga SC, (Ligi ya Mabingwa Afrika).
    Yanga SC 3-0 Pamba Jiji, (Ligi ya NBC).
    Yanga 2-0 Wiliete SC, (Ligi ya Mabingwa Afrika).

    Mbeya City 0-0 Yanga SC, (Ligi ya NBC)

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleAUDIO: AIC Chang`ombe Choir (CVC) – SIFA ZA YESU MP3 DOWNLOAD
    Next Article GERSON MSIGWA AKANUSHA TAARIFA ZA UWANJA WA MKAPA KUFUNGIWA MIEZI 6

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.