Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป KOCHA WA GABORONE KURITHI MIKOBA YA FADLU SIMBA
    KITAIFA

    KOCHA WA GABORONE KURITHI MIKOBA YA FADLU SIMBA

    ChikaoBy ChikaoOctober 3, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    INAELEZWA kuwa Bulgaria Dimitar Pantev mwenye miaka 49 huenda akapewa mikoba ya kukinoa kikosi cha Simba SC ambacho kwa sasa hakina kocha mkuu.

    Taarifa zinaeleza kuwa muafaka mzuri umefikiwa kwa pande zote mbili ambapo mpango kazi ukikamilika atakuja Tanzania kuchukua nafasi ya Fadlu Davids aliyepata dili Raja Casablanca na tayari ameanza kazi.

    Inaelezwa kuwa Simba wamekubali kulipa fidia za kuvunja mkataba wa kocha huyo aliyekuwa anaifundisha Klabu ya Gaborone United ya Botswana.

    Ikumbukwe kwamba Gaborone United ilicheza na Simba SC katika Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali, katika mchezo uliochezwa Dar kocha huyo alikuwa kwenye benchi la ufundi la Gaborone United.

    Kocha huyo aliwahi kuzifundishwa klabu za Orapa United, Victoria United na FC Johansen anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania mwishoni mwa wiki kukamilisha mpango kazi wa kujiunga na Simba SC.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMBINU ZA TUCHEL ZAWATEMA BELLINGHAM, FODEN NA GREALISH
    Next Article KOCHA ANAETAJWA KUTUA SIMBA AAGWA NA KLABU YAKE RASMI

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.