Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป KOCHA FOLZ BADO YUPO YUPO SANA YANGA
    KITAIFA

    KOCHA FOLZ BADO YUPO YUPO SANA YANGA

    ChikaoBy ChikaoOctober 1, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    WAKATI tetesi zikieleza kuwa kuna uwezekano wa Roman Folz, Kocha Mkuu wa Yanga SC akakutana na Thank You taarifa zinaeleza kuwa bado yupoyupo ndani ya kikosi hicho.

    Yanga SC ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara ya NBC msimu wa 2025/26 wamecheza mechi mbili pekee ambazo ni dakika 180.

    Mechi ya ufunguzi walipata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Pamba Jiji FC mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Dar.

    Mchezo wa pili walitoshana nguvu kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Sokoine, Mbeya ukisoma Mbeya City 0-0 Yanga SC.

    Ilikuwa ni Desemba 30 2025 walipogawana pointi mojamoja ikiwa ni sare ya kwanza kwa Folz ndani ya ligi msimu wa 2025/26.

    Taarifa zinaeleza kuwa kwa sasa Yaga SC haina mpango wa kuachana na kocha huyo na badala yake wanafanya mazungumzo naye kuona namna ya mwendo wa timu na pale ambapo kunatatizo ili kuboresha zaidi.

    Ikumbukwe kwamba kwa sasa watani zao wa jadi Simba SC hawana kocha mkuu hivyo nao wanatajwa kutokuwa tayari kuendelea msimu bla ya kocha.

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleTETESI: SIMBA YAMTAKA KOCHA WA ZAMANI WA YANGA
    Next Article HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 2, 2025

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.