HomeKITAIFASIMBA YATANGAZA RASMI UWANJA WA MKAPA KUWA UWANJA WAO WA NYUMBANI 2025/2026

SIMBA YATANGAZA RASMI UWANJA WA MKAPA KUWA UWANJA WAO WA NYUMBANI 2025/2026

Klabu ya Simba imeutangaza uwanja wa Benjamini Mkapa kuwa uwanja watakaoutumia kama uwanja wao wa nyumbani katika mashindano yote kwa msimu wa mwaka 2025/26.

Simba wamerejea kwenye uwanja huo ambao wamekuwa wakiutumia kama uwanja wa nyumbani kwa misimu mingi kabla ya msimu jana kuahamia KMC Complex ili kupisha marekebisho yaliyokuwa yanafanyika katika uwanja huo.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE