HomeKITAIFASIMBA KUCHEZA NA TIMU YA BAJABER SIKU YA SIMBA DAY

SIMBA KUCHEZA NA TIMU YA BAJABER SIKU YA SIMBA DAY

Ripoti kutoka nchini Kenya zimesema kuwa Kenya Police FC wamealikwa kumenyana na wababe wa Tanzania, Simba SC katika mchezo wa kirafiki siku ya Simba Day, utakaofanyika Septemba 10, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam.

Kenya Police FC ni mabingwa wa ligi kuu nchini Kenya kwa msimu wa 2024/25, ndiyo timu aliyotoka nyota mpya wa Simba Mohammed Bajaber.

Klabu hiyo bado haijathibitisha kushiriki, lakini tayari watakuwa nchini Tanzania kwa ajili ya michuano ya CECAFA Kagame Cup 2025, itakayoanza Septemba 2 hadi 15 jijini Dar.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE