Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป SIMBA KUCHEZA NA TIMU YA BAJABER SIKU YA SIMBA DAY
    KITAIFA

    SIMBA KUCHEZA NA TIMU YA BAJABER SIKU YA SIMBA DAY

    ChikaoBy ChikaoAugust 28, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Simba
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Ripoti kutoka nchini Kenya zimesema kuwa Kenya Police FC wamealikwa kumenyana na wababe wa Tanzania, Simba SC katika mchezo wa kirafiki siku ya Simba Day, utakaofanyika Septemba 10, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam.

    Kenya Police FC ni mabingwa wa ligi kuu nchini Kenya kwa msimu wa 2024/25, ndiyo timu aliyotoka nyota mpya wa Simba Mohammed Bajaber.

    Klabu hiyo bado haijathibitisha kushiriki, lakini tayari watakuwa nchini Tanzania kwa ajili ya michuano ya CECAFA Kagame Cup 2025, itakayoanza Septemba 2 hadi 15 jijini Dar.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleHUYU HAPA MCHEZAJI ANAEKIPIGA AKIWA NA MIAKA 47
    Next Article Tatizo la Man U lipo kwa klabu sio wachezaji – Ruud Gullit

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.