HomeKITAIFAKLABU YA SIMBA YASITISHA MCHAKATO WA KUMPA MKATABA KHADIM DIAW

KLABU YA SIMBA YASITISHA MCHAKATO WA KUMPA MKATABA KHADIM DIAW

Klabu ya Simba SC imesitisha mchakato wa kumpa mkataba beki wa kushoto Khadim Diaw kutoka Al Hilal na wameweka nguvu kwa Pascal Msindo wa Azam FC na Anthony wa Namungo FC

Uamuzi huo umekuja baada ya kocha Fadlu Davids kutoridhishwa na kiwango chake, na Khadim Diaw alikuwa alishakamilisha makubaliano binafsi na Simba SC

Diaw ni mchezaji wa Mamelod Sundowns ambaye alikuw anakipiga kwenye klabu ya Al Hilal kwa mkopo.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE