HomeKITAIFAFIFA YAWAONDOLEA SINGIDA BLACK STARS ADHABU YA KUTOSAJILI

FIFA YAWAONDOLEA SINGIDA BLACK STARS ADHABU YA KUTOSAJILI

FIFA imewaondolea Singida Black Stars,adhabu ya kutosajili baada ya kulipa madeni yote ya wachazaji wao watatu.

Awali Singida walikumbana na Rungu la FIFA baada ya kushindwa kulipa Stahiki za wachezaji wao watatu ambao ni Mbaraka Hamza,Amade Momade na Manu Bola.

Ila kwa sasa Singida wako huru kusajili kwani kila kitu kimewekwa sawa

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE