Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » YANGA SC YAMTAJA SILLAH NA FEI KUINGIA KIKOSINI HAPO
    KITAIFA

    YANGA SC YAMTAJA SILLAH NA FEI KUINGIA KIKOSINI HAPO

    ChikaoBy ChikaoJune 1, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    NYOTA wawili kutoka Azam FC ambao wanatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Yanga SC wametajwa na bosi wa kutoka mitaa ya Jangwani.

    Ni Feisal Salum kiungo mshambuliaji ambaye ni kinara kwa utengenezaji pasi za mwisho akiwa nazo 13 na Giblil Sillah mwenye pasi mbili za mabao.

    Mbali na pasi mbili za mabao alizonazo Sillah kiungo huyo mshambuliaji katupia jumla ya mabao 9 kwenye ligi huku Feisal akiwa katupia mabao manne.

    Mastaa hawa wanatajwa kuwa kwenye rada za timu mbalimbali na miongoni mwa timu ambazo zinatajwa ni Yanga SC.

    Kuhusu Fei mabosi wa Azam FC waliweka wazi kuwa bado mchezaji huyo yupo ndani ya kikosi hicho kwa kuwa walisubiri ofa na hakuna timu iliyofika hapo.

    Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga SC amesema kuwa kwa timu kuwa na wachezaji wazuri ni sababu kutokuwa na hofu kuona watu wanaangalia mchezo.

    “Ikiwa unakuwa na wachezaji wazuri kama Pacome, una Sillah una mchezaji kama Feisal unadhani utakuwa na hofu kuona kuna watu wanakuja kuiangalia timu yako? Huwezi kuwa na hofu kwa kuwa una wachezaji wazuri wenye uwezo.”

    Sillah kwenye mabao 9 aliyofunga kazifunga Simba SC na Yanga SC kwenye ligi bao mojamoja walipokutana.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticlePITIA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 27, 2025
    Next Article STARS VS BAFANA BAFANA NI VITA YA REKODI LEO

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.