TUZO zinazotolewa kila baada ya mechi za Ligi Kuu Bara, ukiangalia katika vikosi vya Simba na Yanga, wageni ndio wamekuwa vinara wa kuchukua mara nyingi na…
Author: Chikao
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kwamba Kombe la Dunia la FIFA 2026, litakaloandaliwa kwa pamoja na Marekani, Canada, na Mexico, litakuwa tukio bora kabisa na salama kabisa la michezo…
Victor Font, mgombea urais wa Barcelona, ameeleza kwamba Erling Haaland ndiye lengo lake kubwa, akionyesha kwamba klabu ya LaLiga inaweza kuwa na kipaumbele kumchukua mshambuliaji huyo…
Mgombea urais wa Barcelona, Joan Laporta, amefunguka kuhusu kauli zilizotolewa na Xavi Hernández katika mahojiano yake na La Vanguardia akisema Xavi anaumizwa na mafanikio ya Hans…
KLABU ya Simba SC imethibitisha kuendelea kubaki na kiungo wake, Yusuph Kagoma, baada ya mchezaji huyo kukubali kusaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuitumikia timu…
UONGOZI wa klabu ya Simba umefanikiwa kumuongezea mkataba beki wake tegemeo Rushine De Reuck baada ya kukamilisha taratibu zote za kipengele cha kuongeza muda kilichokuwapo kwenye…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves ameweka wazi kuwa kutakuwa na mabadiliko katika kikosi cha timu hiyo kitakachoshuka dimbani kuvaana na Polisi Tanzania kwenye mchezo wa…
KIUNGO wa Simba SC, Innocent Loemba amesema kwa sasa kikosi chao hakitazami majina ya wapinzani wanaokutana nao, bali kimeweka nguvu zote katika kusaka ushindi na alama…
KOCHA Mkuu wa timu ya B19 maarufu kama Mabeberu wa Jiji, Twaha Beimbaya amesema mchezo wao dhidi ya Simba SC umekuwa somo kubwa kwa kikosi chake,…
UONGOZI wa klabu ya Simba SC umeweka wazi kuwa mshambuliaji wao, Jonathan Sowah, atapelekwa katika kamati ya nidhamu kwa ajili ya mahojiano na kupatiwa adhabu mara…