Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » ZIMBWE JR AFIKIRIA MAKUBWA YANGA SC
    KITAIFA

    ZIMBWE JR AFIKIRIA MAKUBWA YANGA SC

    ChikaoBy ChikaoSeptember 14, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Mohmaed Hussen Zimbwe Jr beki wa kushoto ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu Romain Folz amesema kuwa anafurahia mapokezi makubwa aliyoyapata kutoka kwa mashabiki anamini watajituma kufanya vizuri ndani ya uwanja.

    Ipo wazi kwamba Zimbwe Jr ni miongoni mwa wachezaji waliopokewa kwa shangwe kubwa ndani ya Yanga SC katika utambulisho wake, beki huyo 2024/25 alikuwa katika kikosi cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids.

    “Tamasha limeenda vizuri kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Mashabiki wamejitokeza wengi na hii ni ishara kuwa huu ni mwanzo mzuri kuelekea katika msimu mpya.

    “Kuna vipaji vingi ambavyo vipo ndani ya Yanga SC na nina amini kwamba nami nimeongezeka. Ninashukuru kwa kuwa nipo katika timu ambayo ina talent kubwa.

    “Ninaona mbali zaidi kwa kuwa kila mchezaji anaipigania nembo ya timu nami nimeongezeka. Wananchi ninawapenda na nina amini tutakuwa kwenye kazi kubwa kwa ajili ya kufikia mafanikio,”.

    Mchezo ujao kwa Yanga SC ni Septemba 16 2025 dhidi ya waajiri wake wa zamani Simba SC. Huu utakuwa ni mchezo wa Ngao ya Jamii, mchezo maalumu wa ufunguzi wa ligi msimu wa 2025/26 utachezwa Uwanja wa Mkapa.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleYanga SC vs Simba SC zimebaki siku tatu
    Next Article JEAN AHOUA AINGIA KWENYE MTIHANI MWINGINE SIMBA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.