HomeKITAIFAMIGUEL GAMONDI AANZA KAZI RASMI SINGIDA BLACK STARS

MIGUEL GAMONDI AANZA KAZI RASMI SINGIDA BLACK STARS

Kocha Mkuu wa @singidablackstars ameanza rasmi kazi ya kukinoa kikosi cha timu hiyo kuelekea msimu mpya wa mashindano wa mwaka 2025/26.

Gamondi ambaye aliwahi kuwa kocha mkuu wa Yanga ameanza majukumu hayo leo akiwa na msaidizi wake Moussa N’Daw.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE