HomeKIMATAIFA"NINA NJAA YA KUFANYA JAMBO KUBWA MSIMU HUU" - MBAPPE

“NINA NJAA YA KUFANYA JAMBO KUBWA MSIMU HUU” – MBAPPE

Mshambuliaji wa Real Madrid, Kylian Mbappe amesisitiza kwamba ana njaa ya kupata mafanikio makubwa msimu huu.

Mbappe ameyasema hayo kupitia chapisho lake kwenye mtandao wake wa Instagram.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 alisema:

“Msimu mpya. Nina njaa ya kufanya jambo kubwa, Twende sote pamoja, Madridistas. HALA MADRID.”

Nahodha huyo wa Ufaransa alijiunga na Real Madrid kutoka Paris Saint-Germain mwaka jana.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE