Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป “NINA NJAA YA KUFANYA JAMBO KUBWA MSIMU HUU” – MBAPPE
    KIMATAIFA

    “NINA NJAA YA KUFANYA JAMBO KUBWA MSIMU HUU” – MBAPPE

    ChikaoBy ChikaoAugust 6, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Mbappe
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Mshambuliaji wa Real Madrid, Kylian Mbappe amesisitiza kwamba ana njaa ya kupata mafanikio makubwa msimu huu.

    Mbappe ameyasema hayo kupitia chapisho lake kwenye mtandao wake wa Instagram.

    Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 alisema:

    “Msimu mpya. Nina njaa ya kufanya jambo kubwa, Twende sote pamoja, Madridistas. HALA MADRID.”

    Nahodha huyo wa Ufaransa alijiunga na Real Madrid kutoka Paris Saint-Germain mwaka jana.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleSAMATTA ATAMBULISHWA RASMI LIGI KUU YA UFARANSA
    Next Article TAIFA STARS KAMILI KUWAKABILI MAURITANIA KWA MKAPA AGOSTI 6 2025

    Related Posts

    TETESI: TIMU YA MESSI YAMFUKUZIA BERNARDO SILVA

    March 25, 2026

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: TIMU YA MESSI YAMFUKUZIA BERNARDO SILVA

    KOCHA WA YANGA HAELEWI, VIONGOZI WABADILISHA UELEKEO

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.