HomeKITAIFASAMATTA ATAMBULISHWA RASMI LIGI KUU YA UFARANSA

SAMATTA ATAMBULISHWA RASMI LIGI KUU YA UFARANSA

Nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania Mbwana Ally Samatta ametambulishwa rasmi kuwa mchezaji mpya wa klabu ya Le Havre inayoshiriki Ligi kuu nchini Ufaransa.

Samatta anakuwa mchezaji wa kwanza kutoka Tanzania kucheza kwenye mataifa manne 5 Barani Ulaya akianzia Ubeljiji,Uingereza,Uturuki,Ugiriki na Ufaransa.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE