Home KITAIFA MOHAMMED HUSSEIN ATAMBULISHWA RASMI YANGA

MOHAMMED HUSSEIN ATAMBULISHWA RASMI YANGA

325
0
Mohammed Hussein

Klabu ya Yanga imemtambulisha rasmi aliyekuwa nahodha wa klabu ya Simba Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ kwa mkataba wa miaka 2 hadi mwaka 2027.

Tshabalala amejiunga na Yanga baada ya kumaliza mkataba wake na wekundu wa msimbazi alipohudumu kwa takribani miaka 10.

Advertisement

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here