HomeKITAIFAMOHAMMED HUSSEIN ATAMBULISHWA RASMI YANGA

MOHAMMED HUSSEIN ATAMBULISHWA RASMI YANGA

Klabu ya Yanga imemtambulisha rasmi aliyekuwa nahodha wa klabu ya Simba Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ kwa mkataba wa miaka 2 hadi mwaka 2027.

Tshabalala amejiunga na Yanga baada ya kumaliza mkataba wake na wekundu wa msimbazi alipohudumu kwa takribani miaka 10.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE