Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » MPANZU AWASILI KAMBINI MISRI, AKABIDHIWA VIFAA VYAKE
    KITAIFA

    MPANZU AWASILI KAMBINI MISRI, AKABIDHIWA VIFAA VYAKE

    ChikaoBy ChikaoAugust 6, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Mpanzu
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    ELLIE Mpanzu, winga chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Fadlu Davids amewasili kambini rasmi Agosti 5 2025 kwa maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26.

    Nyota huyo alikuwa anatajwa kuwa kwenye rada za watani wa jadi wa Simba SC ambao ni Yanga SC kuelekea msimu mpya wa 2025/26.

    Inaelezwa kuwa alichelewa kambini kutokana na matatizo ya kifamilia jambo ambalo lilimfanya akachelewa kujiunga na Simba SC kambini nchini Misri.

    Tayari kikosi cha Simba SC kimeanza maandalizi mapema kabla ya ligi kuanza. Ligi inatarajiwa kuanza kushika kasi Septemba 16 2025 ikiwa ni mwanzo wa msimu mpya.

    Baada ya kuripoti kambini, Mpanzu amekabidhiwa vifaa vya kazi kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya na alipata muda kuwasilimia wachezaji wa timu hiyo.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleKISA SIMBA, ZIMBWE AMJIA JUU ALI KAMWE ‘NAIHESHIMU SIMBA’
    Next Article JKT TANZANIA KUKOMAA NA KIPA NA BEKI ALIYETAJWA YANGA SC

    Related Posts

    KOCHA WA YANGA HAELEWI, VIONGOZI WABADILISHA UELEKEO

    March 25, 2026

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: TIMU YA MESSI YAMFUKUZIA BERNARDO SILVA

    KOCHA WA YANGA HAELEWI, VIONGOZI WABADILISHA UELEKEO

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.