Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » AHMED AZUNGUMZIA JUU YA TAARIFA ZA MPANZU KUTOPOKEA SIMU
    KITAIFA

    AHMED AZUNGUMZIA JUU YA TAARIFA ZA MPANZU KUTOPOKEA SIMU

    ChikaoBy ChikaoAugust 5, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    mpanzu
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba Ahmed Ally amezungumza kuhusu taarifa zilizoibuka asubuhi ya leo kuhusu mshambuliaji wao raia wa DR Congo Ellie Mpanzu kuwa amegoma kuwasili kambini mpaka sasa na amewazimia simu viongozi wake.

    Ahmed Ally ameandika ujumbe huku akiwajibu wazushi wa taarifa hizo na kuwataka wamtambulishe kwa sasabu nyota huyo hayupo kambini na wanahisi yupo kwao.

    “Waliosema Mpanzu harudi Simba ndio wanaohangaika kusema yupo Misri😀😀Waliojibadilisha majina na kujiita Eliiiza ndio wanapambana kutuma watu waandike Mpanzu amewasili kambini Misri leo”.

    “Yaani ghafla wamekua wasemaji wa kambi yetu.Na sisi tunawaambia mtambulisheni sasa huku kwetu hayupo tunahisi yupo kwenu😀😀”Ameandika Ahmed Ally.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMANNE TAREHE 5-8-2025
    Next Article SAMATTA KUCHEZA LIGI KUU YA UFARANSA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.