Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป YANGA SC HAWAPOI, KIUNGO WA KAZI MOHAMED DOUMBIA NDANI
    KITAIFA

    YANGA SC HAWAPOI, KIUNGO WA KAZI MOHAMED DOUMBIA NDANI

    ChikaoBy ChikaoAugust 4, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    YANGA SC mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2025/26 hawapoi kutokana na kasi yao kwenye utambulisho wa wachezaji wapya.

    Ikumbukwe kwamba msimu wa 2024/25 Yanga SC ilitwaa taji la Ligi Kuu Bara inayodhaminiwa na NBC likiwa ni taji lao la 31. Baada ya mechi 30 walikusanya jumla ya pointi 82 na safu ya ushambuliaji ilifunga jumla ya mabao 83.

    Ni Agosti 3 2025 Yanga SC ilimtambulisha kiungo, Mohamed Doumbia. Nyota mwenye miaka 26 amejiunga na Yanga SC kutokea FC Slovan Liberec ya Jamuhuri ya Czech. Staa huyo ana uwezo mkubwa wa kupiga mashuti ya mbali na kutengeneza nafasi kwa wengine.

    Licha ya kumtambulisha rasmi Agosti 3 2025 usiku, imeelezwa kuwa Yanga tayari walimalizana na Doumbia tangu mwezi Mei mwaka huu. Doumbia anakuja kurithi mikoba ya Stephanie Aziz Ki. Hii ni kutokana na akili, nguvu na uwezo wa kucheza nafasi mbalimbali uwanjani zikiwemo 8 na 10 akiwa uwanjani.

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMATATU TAREHE 4-8-2025
    Next Article LIVERPOOL, ARSENAL AU CITY? VITA YA KILELENI YACHUKUA KASI MAPEMA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.