Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » BAADA YA CHE MALONE KUAGWA SIMBA SC, HUYU NDIO MRITHI WAKE
    KITAIFA

    BAADA YA CHE MALONE KUAGWA SIMBA SC, HUYU NDIO MRITHI WAKE

    ChikaoBy ChikaoJuly 30, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    CHE Malone ndo basi tena ndani ya kikosi cha Simba SC baada ya kupata changamoto mpya nje ya Tanzania hivyo msimu wa 2025/26 hatakuwa ndani ya kikosi cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids.

    Che Malone anatajwa kupata timu nchini Algeria kwa ajili ya changamoto mpya na tayari Simba SC wamempa Thank You beki huyo aliyekuwa chaguo la kwanza kikosi cha Simba SC.

    Mrithi wa Che Malone ni mchezaji wa kwanza kutambulishwa Simba SC raia wa Afrika Kusini ambaye aliwahi kucheza Mamelod Sundowns anaitwa Rushine De Reuck.

    Julai 30 2025, Che Malone amekutana na Thank You hivyo hatakuwa ndani ya Simba SC kwa msimu ujao kwenye mechi za ushindani.

    Beki mpya ambaye ni mchezaji wa kwanza kutambulishwa Simba SC yupo kwenye msafara wa Simba SC uliokwenda Misri kwa maandalizi ya msimu ujao wa 2025/26.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleKIUNGO YANGA SC KUIBUKIA SINGIDA BLACK STARS
    Next Article KOCHA FADLU ASIMAMISHA BAADHI YA SAJILI SIMBA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.