Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป PACOME ZOUZOUA KUBAKI YANGA MPAKA 2027
    KITAIFA

    PACOME ZOUZOUA KUBAKI YANGA MPAKA 2027

    ChikaoBy ChikaoJuly 25, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    pacome
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Kiungo mahiri kutoka Ivory Coast, Pacome Zouzoua,inasemekana ameshasaini mkataba mpya na klabu ya Yanga SC siku nyingi zilizopita, muda mfupi tu baada ya fainali ya Kombe la CRDB.

    Kwa mujibu wa taarifa za ndani, mkataba huo wa miaka miwili ulitayarishwa na kusainiwa kipindi hicho, huku mpunga ukishalipwa rasmi fedha ambazo Zouzoua hakupoteza muda kuzitumia kujenga jumba la kifahari kwao Ivory Coast.

    Kwa sasa, kinachosubiriwa ni kurejea kwake Bongo, muda wowote kuanzia sasa, ili aungane na timu katika maandalizi ya msimu mpya (Pre-season).

    Kumbuka, msimu wa 2024/25 ulikuwa wa kifalme kwa Zouzoua, baada ya kutwaa tuzo ya MVP kutokana na kutikisa ligi kwa tuzo nyingi za Mchezaji Bora wa Mechi katika mizunguko mbalimbali.

    Yote yamewekwa wazi Pacome Zouzoua atasalia kuitumikia Yanga SC hadi mwaka 2027. Mashabiki wa Wananchi, mna sababu ya kutabasamu!

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMAGAZETI YA MICHEZO LEO IJUMAA TAREHE 25-7-2025
    Next Article Taifa Stars kuvuna Bilioni 1 wakitwaa ubingwa wa CHAN.

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.