Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » TETESI: TIMU YA MESSI YAMFUKUZIA BERNARDO SILVA
    KIMATAIFA

    TETESI: TIMU YA MESSI YAMFUKUZIA BERNARDO SILVA

    ChikaoBy ChikaoMarch 25, 202601 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Inter Miami wanapanga kumsajili kiungo wa Manchester City Bernardo Silva.

    Kulingana na TyC Sports, klabu hiyo ya Marekani inatumai kumnasa kwa uhamisho wa bila malipo msimu huu wa joto lakini itakabiliwa na ushindani mkubwa kutoka kwa vilabu vya barani Ulaya.

    Mkataba wa Silva na City unamalizika mwishoni mwa msimu huu, na kuna uwezekano mkubwa kwamba huenda akashika njia.

    Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 31 amekuwa akiongea kuhusu nia yake ya kutafuta changamoto mapya nje City, hivyo uwezekano wa kuongeza mkataba wake wa kukaa Etihad Stadium ni mdogo.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleKOCHA WA YANGA HAELEWI, VIONGOZI WABADILISHA UELEKEO

    Related Posts

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: TIMU YA MESSI YAMFUKUZIA BERNARDO SILVA

    KOCHA WA YANGA HAELEWI, VIONGOZI WABADILISHA UELEKEO

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.