HomeKITAIFAMechi ya Yanga vs Kabylie CAF ni Lini? Tarehe, Saa na Mahali

Mechi ya Yanga vs Kabylie CAF ni Lini? Tarehe, Saa na Mahali

Mechi ya Yanga vs Kabylie CAF ni Lini? Tarehe, Saa na Mahali

Timu ya Wananchi Yanga SC itashuka dimbani kuikabili JS Kabylie katika mchezo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa, huku wakisaka matokeo chanya kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo huo ndio mchezo utakao hitimisha michezo ya hatua ya makundi na unatarajiwa kufuatiliwa na mashabiki wengi, huku ratiba, saa ya kuanza na njia ya kuutazama zikithibitishwa rasmi.

Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa, Yanga itakuwa dimba la New Amaan Complex siku ya Jumapili, Februari 15, ikimenyana na wapinzani wao kutoka Algeria katika pambano lenye umuhimu wa kiushindani ndani ya ratiba ya michuano hiyo.

Tarehe na Saa ya Mchezo wa Yanga vs Kabylie

  • Tarehe: Jumapili, Februari 15
  • Uwanja: New Amaan Complex
  • Muda wa kuanza: Saa 1:00 usiku

 

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular