Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » UPANDE WA MO DEWJI NAO WATOA MAJIBU HAYA MAZITO
    KITAIFA

    UPANDE WA MO DEWJI NAO WATOA MAJIBU HAYA MAZITO

    ChikaoBy ChikaoFebruary 6, 202601 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    mo dewji
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email
    Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC imeeleza kusikitishwa na vitendo vya baadhi ya watu kuitisha mkutano usio rasmi na kutoa maneno ya kashfa pamoja na kauli zisizo na staha dhidi ya mwekezaji wa klabu hiyo, Ndugu Mohammed G. Dewji.
    Klabu imesisitiza kuwa vitendo hivyo havikubaliki na haitatabari wala kuvumilia mtu yeyote atakayeharibu taswira ya klabu kwa namna yoyote ile, huku wakitoa pole rasmi kwa Ndugu Dewji kutokana na usumbufu huo.
    ​Kutokana na hali hiyo, uongozi wa Simba umeliandikia Jeshi la Polisi ili kuchukua hatua kali za kisheria dhidi ya wote waliohusika katika mkutano huo ama “kula njama,” kwa lengo la kuwafikisha kwenye vyombo vya dola kwa makosa ya jinai.
    Aidha, klabu imetoa onyo kali kuhusu matumizi haramu ya nembo za wadhamini wao yaliyofanyika katika mkutano huo usio rasmi, ikisisitiza kuwa itachukua hatua za kisheria kulinda haki za wadhamini wake.
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMMILIKI WA MBEYA KWANZA APIGA MKWARA HUU MZITO
    Next Article Hizi Hapa Hesabu Konki za Yanga Kufuzu Robo Fainali Klabu Bingwa

    Related Posts

    KOCHA WA YANGA HAELEWI, VIONGOZI WABADILISHA UELEKEO

    March 25, 2026

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: TIMU YA MESSI YAMFUKUZIA BERNARDO SILVA

    KOCHA WA YANGA HAELEWI, VIONGOZI WABADILISHA UELEKEO

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.