Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » Ratiba Ya AFCON 2025 Hatua Ya Makundi
    KIMATAIFA

    Ratiba Ya AFCON 2025 Hatua Ya Makundi

    ChikaoBy ChikaoDecember 16, 202502 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Ratiba Ya AFCON 2025 Hatua Ya Makundi
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Ratiba Ya AFCON 2025 Hatua Ya Makundi

    Michuano ya AFCON 2025 inatarajiwa kuanza kutia vumbi Disemba 21 nchini Morocco, ambapo timu 24 zitachuana katika hatua ya makundi, zikisaka nafasi ya kusonga mbele hadi hatua ya mtoano. Ratiba hii imepangwa kutoa mfululizo wa michezo mikali, huku mataifa makubwa yakikabiliana na changamoto za mapema katika safari ya kutafuta ubingwa wa Afrika.

    Hapo chini ni mwongozo kamili na wenye maelezo ya kina kuhusu Ratiba Ya AFCON 2025 Hatua Ya Makundi, ikiwemo tarehe, muda wa mechi na pambano husika kulingana na taarifa rasmi zilizopo kwenye ratiba ya mashindano.

    Jumapili • 21 Desemba 2025

    • Morocco vs Comoros – 4:00 Usiku

    Jumatatu • 22 Desemba 2025

    • Mali vs Zambia – 11:00 Jioni
    • Afrika Kusini vs Angola – 2:00 Usiku
    • Misri vs Zimbabwe – 5:00 Usiku

    Jumanne • 23 Desemba 2025

    • Congo DR vs Benin – 9:30 Alasiri
    • Senegal vs Botswana – 12:00 Jioni
    • Nigeria vs Tanzania – 2:30 Usiku
    • Tunisia vs Uganda – 5:00 Usiku

    Jumatano • 24 Desemba 2025

    • Burkina Faso vs Equatorial Guinea – 9:30 Alasiri
    • Algeria vs Sudan – 12:00 Jioni
    • Ivory Coast vs Msumbiji – 2:30 Usiku
    • Cameroon vs Gabon – 5:00 Usiku

    Ijumaa • 26 Desemba 2025

    • Angola vs Zimbabwe – 9:30 Alasiri
    • Misri vs Afrika Kusini – 12:00 Jioni
    • Zambia vs Comoros – 2:30 Usiku
    • Morocco vs Mali – 5:00 Usiku

    Jumamosi • 27 Desemba 2025

    • Benin vs Botswana – 9:30 Alasiri
    • Senegal vs Congo DR – 12:00 Jioni
    • Uganda vs Tanzania – 2:30 Usiku
    • Nigeria vs Tunisia – 5:00 Usiku

    Jumapili • 28 Desemba 2025

    • Gabon vs Msumbiji – 9:30 Alasiri
    • Equatorial Guinea vs Sudan – 12:00 Jioni
    • Algeria vs Burkina Faso – 2:30 Usiku
    • Ivory Coast vs Cameroon – 5:00 Usiku
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleSimba Yatia Fora, Yatoa Jezi Sawa na Bure
    Next Article Sowah na Kante Wafungiwa Michezo 5, Mwamuzi Mwinyimkuu Apewa Adhabu

    Related Posts

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.