Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป TETESI: SIMBA YAMTAKA KOCHA WA ZAMANI WA YANGA
    KITAIFA

    TETESI: SIMBA YAMTAKA KOCHA WA ZAMANI WA YANGA

    ChikaoBy ChikaoOctober 1, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    INAELEZWA kuwa mabosi wa Simba SC wapo na hesabu za kumpa kazi Miguel Gamondi ambaye kwa sasa ni Kocha Mkuu wa Singida Black Stars.

    Inaelezwa kuwa Simba SC mara baada ya Fadlu Davids kubwaga manyanga walianza kufikiria kupata huduma ya Gamondi ambaye aliwahi kuinoa Yanga SC na kuipa ubingwa.

    Uzoefu wake kwenye soka la Afrika unatajwa kuwa sababu kubwa kwa Simba SC kutuma ofa ndani ya Singida Black Stars kupata saini yake.

    Taarifa zinaeleza kuwa uwezekano wa Simba SC kumpata Gamondi ni mdogo kwa sasa kutokana na mpango kazi uliopo kwa mabosi wa Singida Black Stars.

    Ushiriki wa Singida Black Stars kwenye anga za kimataifa ikiwa katika Kombe la Shirikisho, uwepo wa wachezaji wenye uzoefu unatajawa kuwa sababu ya Gamondi kutoelekea Simba SC.

    Bado mazungumzo yanaendelea na hali itakapofikia hapa tutakujuza msomaji wetu kwa uhakika kuhusu suala la kocha mpya ndani ya kikosi cha Simba SC.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleWACHEZAJI WAWILI SIMBA KUUKOSA MCHEZO NA NAMUNGO
    Next Article KOCHA FOLZ BADO YUPO YUPO SANA YANGA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.