Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » Msimamo wa Ligi kuu NBC Tanzania 2025/2026
    KITAIFA

    Msimamo wa Ligi kuu NBC Tanzania 2025/2026

    ChikaoBy ChikaoOctober 1, 202503 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Msimamo wa Ligi kuu NBC Tanzania 2025/2026
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Msimamo wa Ligi kuu NBC Tanzania 2025/2026

    Msimamo wa Ligi kuu NBC Tanzania 2025/2026Msimu wa 2025/2026 wa Ligi Kuu NBC Tanzania umeanza rasmi leo, Septemba 17, ambapo mashabiki wa soka nchini wamefurahia kushuhudia pambano la ufunguzi lililozikutanisha timu za Coastal Union na Tanzania Prisons. Katika mchezo huo uliojaa ushindani, Coastal Union iliibuka kidedea baada ya kuibamiza Tanzania Prisons bao 1–0, ushindi ambao uliwapa mwanzo mzuri katika safari yao ya msimu huu mpya wa ligi.

    Msimu huu wa 2025/2026 unatarajiwa kuwa wenye ushindani mkubwa zaidi ukizangatia mabadiliko makubwa ya vikosi na benchi la ufundi yaliyofanywa na vilabu mbalimbali haswa Azam Fc, Singida Bs, Simba Sc na YantgaJe, Yanga SC wataweza kutetea ubingwa wao?

    Azam FC, Singida Bs na Simba SC zitaweza kumaliza utawala wa Yanga msimu huu? Je, tutashuhudia timu zingine zikiibuka na kuwa miongoni mwa washindani wakuu? Maswali haya na mengine mengi yatajibiwa kadri msimu huu utakavyokuwa ukiendelea.

    Mashabiki wa soka Tanzania wana kila sababu ya kutazamia msimu uliojaa msisimko, ushindani mkali, na mshangao mwingi. Ligi Kuu ya NBC 2025/2026 inaahidi kuwa msimu ambao hautakumbukwa tu kwa matokeo yake, bali pia kwa ubora wa soka litakalochezwa.

    Msimamo wa Ligi kuu NBC Tanzania 2025/2026 | Msimamo Ligi Kuu Bara

    Pos Timu P W D L GF GA GD Pts
    1 Singida Black Stars 2 2 0 0 2 0 2 6
    2 Young Africans 2 1 1 0 3 0 3 4
    3 Dodoma Jiji FC 3 1 1 1 4 3 1 4
    4 JKT Tanzania 2 1 1 0 3 2 1 4
    5 Namungo FC 2 1 1 0 2 1 1 4
    6 Mashujaa FC 3 1 1 1 2 2 0 4
    7 Mbeya City 3 1 1 1 1 2 -1 4
    8 Simba 1 1 0 0 3 0 3 3
    9 Azam FC 1 1 0 0 2 0 2 3
    10 Mtibwa Sugar 2 1 0 1 2 1 1 3
    11 KMC 3 1 0 2 1 2 -1 3
    12 Tanzania Prisons 3 1 0 2 1 2 -1 3
    13 Coastal Union 3 1 0 2 2 4 -2 3
    14 Tabora 2 0 2 0 2 2 0 2
    15 Pamba 3 0 2 1 1 4 -3 2
    16 Fountain Gate 3 0 0 3 0 6 -6 0
    • MP- Michezo Iliyochezwa (Match Played)
    • W- Ushindi (Winsi)
    • D- Sare (Draw)
    • L-Kufungwa (Lose)
    • GF- Magoli Ambayo Timu Imefunga (Goal For)
    • GA- Magoli Ambayo Timu Imefungwa (Goals Against)
    • GD- Tofauti Ya Magoli (Goal Difference)
    • PTS- Jumla Ya Alama (Points)
    TFF
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleSimba vs Namungo FC Leo 01/10/2025 Saa Ngapi?
    Next Article WACHEZAJI WAWILI SIMBA KUUKOSA MCHEZO NA NAMUNGO

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.