Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » NAJIONA MTU MWENYE BAHATI SANA KUISHABIKIA YANGA – HARMONIZE
    KITAIFA

    NAJIONA MTU MWENYE BAHATI SANA KUISHABIKIA YANGA – HARMONIZE

    ChikaoBy ChikaoJuly 7, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Harmonize
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Staa wa muziki wa kizazi kipya nchini, Harmonize a.k.a Konde Boy, amefunguka kwamba ubingwa wa Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho iliyotwaa Yanga msimu huu vimempa furaha kubwa kwani, kulikuwa na kelele na hila nyingi kabla ya msimu wa 2024-2025 kufikia tamati.

    Harmonize ambaye ni shabiki wa Yanga, amesema anajiona mwenye bahati kwa kuishabikia timu yenye kubeba makombe kila uchao.

    “Najiona ni mtu mwenye bahati sana kuishabikia hii klabu yenye kubeba makombe kila kukicha. Najiona ni mwenye bahati sana kuishi kwenye hii karne  nakuweza kuiona Yanga SC noma kuliko Yanga ya msimu wowote,” alisema Harmonize na kuongeza;

    “Kuna muda hua nawaza hawa wenzangu wanaoshabikia timu nyingine walikua wapi kipindi sisi tunafanya chaguzi? Ndipo nagundua kwanini huwa wanapata maradhi kama vile pressure, kisukari na magonjwa mengine,” alitania.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleTETESI ZA USAJILI SIMBA LEO 2025/26
    Next Article CHAN MAMBO YANAZIDI KUPAMBA MOTO, WACHEZAJI WAELEKEA MISRI

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.