Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป CHAN MAMBO YANAZIDI KUPAMBA MOTO, WACHEZAJI WAELEKEA MISRI
    KITAIFA

    CHAN MAMBO YANAZIDI KUPAMBA MOTO, WACHEZAJI WAELEKEA MISRI

    ChikaoBy ChikaoJuly 9, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    KIKOSI cha Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Julai 08 2025 kiliingia kambini Dar es Salaam kisha alfajiri ya kuamkia Julai 9 kimekwea pipa kuelekea nchini Misri kwa ajili ya kambi ya wiki tatu.

    Hivyo kuelekea CHAN mambo ni moto na maandalizi yanaendelea kwa kasi ikiwa ni mwendelezo wa ukarabati wa Uwanja wa Mkapa ambao upo tayari kwa asilimia kubwa kuelekea CHAN.

    Stars Agosti 02, 2025 itacheza mchezo wa ufunguzi wa mashindano ya Chan 2024 dhidi ya Burkina Faso kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam. Miongoni mwa wachezaji waliopo kwenye msafara ni Aishi Manula, Mohamed Hussen Zimbwe, Dickson Job.

    Kwa mujibu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Serikali wamebainisha kuwa kwa kiasi kikubwa maandalizi yanakwenda vizuri kwa ajili ya mashindano hayo ya Chan.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNAJIONA MTU MWENYE BAHATI SANA KUISHABIKIA YANGA – HARMONIZE
    Next Article SINGIDA BS YAMNYATIA KIPA WA SIMBA BAADA YA KUMALIZA MKATABA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.