Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป YANGA SC NA SIMBA SC MAMBO MAGUMU KWENYE LIGI 2024/25
    KITAIFA

    YANGA SC NA SIMBA SC MAMBO MAGUMU KWENYE LIGI 2024/25

    ChikaoBy ChikaoMay 24, 202502 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    WABABE wawili ndani ya ardhi ya Tanzania kwenye eneo la mpira wa miguu ndani ya ligi ya vijana huko kwao mambo ni magumu kutokana na aina ya matokeo ambayo wanayaoata ndani ya uwanja.


    Ni Yanga SC na Simba SC katika NBC Youth League 2024/25 mambo ni magumu kwao kutokana na mwendo ambao wapo nao katika makundi tofauti waliyopo kila mmoja kwa wakati wake.


    Katika nane bora, Yanga SC Youth ipo kundi B ambalo kinara ni Kagera Sugar mwenye jumla ya pointi 4 baada ya mechi mbili ndani ya dakika 180.


    Ushindi ni kwenye mchezo mmoja na sare mchezo mmoja huku safu ya ushambuliaji ikitupia mabao matatu na imeruhusu kifungwa bao moja.


    Yanga SC Youth ni nafasi ya nne baada ya mechi mbili zote imepoteza ilianza Yanga SC 1-2 Tanzania Prisons kisha ikapoteza kwa kufungwa mabao 32 dhidi ya Fountain Gate iliyo nafasi ya pili.


    Simba SC Youth kwenye kundi A nafasi ya tatu na pointi mbili baada ya kucheza mechi tatu imepoteza moja na kuambulia sare mbili kwenye mechi ambazo ilishuka uwanjani.


    Kwenye kundi A vinara ni Azam FC wenye pointi 7, nafasi ya pili ni KenGold yenye pointi 6, nafasi ya tatu ni Simba SC yenye pointi 2 na nafasi ya nne ni Dodoma Jiji yenye pointi moja.


    Kwenye kundi B vinara ni Kagera Sugar weye pointi nne, Fountain Gate wenye pointi nne nafasi ya pili, nafasi ya tatu ni Tanzania Prisons wenye pointi tatu na Yanga SC nafasi ya nne haijavuna pointi.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleSIMBA SC KUINGIA KWA MKAKATI KUWAKABILI RS BERKANE MEI 25 2025
    Next Article MZIZE RASMI KUSEPA KWENYE TIMU HII HAPA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.