Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » KOCHA FADLU AFUNGUKA MIPANGO YAKE KWENYE NGAO YA JAMII
    KITAIFA

    KOCHA FADLU AFUNGUKA MIPANGO YAKE KWENYE NGAO YA JAMII

    ChikaoBy ChikaoSeptember 13, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    fadlu
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Kocha wa Simba SC ameweka wazi msimamo na mikakati ya kikosi chake kuelekea mchezo muhimu wa ngao ya jamii dhidi ya Young Africans (Yanga).

    Akizungumza baada ya mapumziko mafupi, kocha huyo amesema kikosi chake kimeanza maandalizi mapya kwa mchezo huo wa heshima kabla ya kuelekeza nguvu kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.

    “Tumepumzika jana na kisha leo tunaanza maandalizi ya mechi ya Yanga. Huo ni mtihani mkubwa, ni fainali, ni mechi ya heshima. Baada ya hapo tutaelekeza nguvu kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika. Tutafanya uchambuzi, mikutano binafsi na ya pamoja, ili kuweka mambo sawa,” alisema kocha.

    Aidha, amesisitiza umuhimu wa mashabiki kuendelea kutoa sapoti kubwa, akibainisha matarajio ya timu kupata kibali cha kutumia Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa mechi za nyumbani ili mashabiki wengi waweze kushuhudia michezo yao.

    “Naamini Ligi Kuu itaturuhusu kucheza mechi zetu za nyumbani kwa Mkapa kwa sababu mashabiki wengi zaidi wataweza kutuona. Tunahitaji msaada wao zaidi wiki ijayo, nusu ya uwanja uwe mwekundu. Hizo ndiyo mechi kubwa zinazohitaji umoja wa mashabiki na wachezaji,” aliongeza.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMIKÊL OBI AUNGA MKONO OKOCHA KUWA RAIS WA SHIRIKISHO LA SOKA NIGERIA
    Next Article HILI NDIO TAMASHA LILIPENDEZA ZAIDI, KATI YA SIMBA DAY NA YANGA DAY

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.