Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » ALI KAMWE AMETOA AHADI HII YANGA DAY 2025
    KITAIFA

    ALI KAMWE AMETOA AHADI HII YANGA DAY 2025

    ChikaoBy ChikaoSeptember 10, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    yanga day
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ali Kamwe ameahidi kuishitua Dunia Keshokutwa katika kilele cha Wiki ya Mwananchi itakayofanyika kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar.

    Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Romain Folz ambaye ni mrithi wa mikoba ya Miloud Hamdi aliyekiongoza kikosi hicho kutwaa taji la ubingwa msimu wa 2024/25.

    Ni Wiki ya Mwananchi ambayo inasubiriwa kwa shauku kubwa Septemba 12 2025 na Yanga SC inatarajia kucheza mchezo wa kirafiki na Bandari ikiwa ni mwanzo wa msimu wa 2025/26.

    Kamwe amesema: “Siku ya Wananchi hamjawahi kuniona kwenye kipaza wala eneo lolote nikifanya vurugu zangu ila mwaka huu nimo.

    “Mimi ni kisima cha ubunifu na wote mnanijua. Nikishaingia hakuna binadamu yeyote atakayejadili entrance ya mtu mwingine zaidi yangu, nitaishtua Dunia,” alisema Kamwe.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleWAZIRI AWESO AWAKILISHA WAZIRI MKUU KATIKA KILELE CHA SIMBA DAY 2025
    Next Article PITIA VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 11,2025

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.