Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » YANGA YATANGAZA KULITAKA KOMBE LA CRDB
    KITAIFA

    YANGA YATANGAZA KULITAKA KOMBE LA CRDB

    ChikaoBy ChikaoJune 29, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Tetesi za Usajili Yanga leo 2025/2026
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    UONGOZI wa Klabu ya Yanga SC umeweka wazi dhamira yao ya kuhakikisha wanarejesha nyumbani Kombe la CRDB Federation Cup, wakisisitiza kuwa wao ni mabingwa watetezi licha ya kupangwa kucheza dhidi ya timu ngumu, Singida Black Stars, kwenye fainali.

    Mchezo huo wa fainali unatarajiwa kuchezwa leo, Jumapili, Juni 29, 2025, ambapo macho ya Watanzania wengi yataelekezwa kwenye uwanja huo mkubwa wa kihistoria.

    Yanga SC inashuka dimbani ikiwa na morali ya juu, baada ya kutwaa taji la 31 la Ligi Kuu Bara, kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya watani wa jadi Simba SC. Klabu hiyo imemaliza ligi ikiwa na pointi 82, ikifunga mabao 83 na kuruhusu mabao 10 tu – rekodi ya juu kwa msimu huu.

    Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga SC amesema:

    “Singida Black Stars walitusumbua kweli kwenye mechi zetu mbili za ligi. Kuelekea mchezo wetu wa fainali, tupo tayari na tunalitaka kombe letu, licha ya ugumu ambao upo mbele yetu. Tunaamini benchi la ufundi na wachezaji watakamilisha majukumu yao.”

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleSIMBA SC YASAKA KIPA KUMPA CHANGAMOTO CAMARA
    Next Article RAIS WA YANGA ACHUKUA FOMU YA UBUNGE KIGAMBONI

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.