Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » AMORIM KOCHA WA MAN U, HANA UHAKIKA NA KIBARUA CHAKE
    KIMATAIFA

    AMORIM KOCHA WA MAN U, HANA UHAKIKA NA KIBARUA CHAKE

    ChikaoBy ChikaoAugust 30, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Kocha wa Manchester United, Ruben Amorim, amesema hajui nini kitatokea kwenye ajira yake wakati wa mapumziko ya kimataifa.

    Akijibu maswali ya wanahabari jana Ijumaa, kama alikuwa na uhakika wa kutofukuzwa wakati wa mapumziko ya kimataifa, alijibu: “Sijui nini kitatokea”

    “Matamanio yangu ni kuendelea, lakini sitakuahidi chochote kuhusu siku zijazo itakuwaje”

    “Lakini mimi ni Kocha wa Manchester United na nadhani hilo halitabadilika” alisema Amorim.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleYANGA SC KAMILI, MASHINE SITA ZAANZA KAZI
    Next Article CHELSEA YAMNASA ALEJANDRO GARNACHO KUTOKA MANCHESTER UNITED

    Related Posts

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.