HomeKIMATAIFAAMORIM KOCHA WA MAN U, HANA UHAKIKA NA KIBARUA CHAKE

AMORIM KOCHA WA MAN U, HANA UHAKIKA NA KIBARUA CHAKE

Kocha wa Manchester United, Ruben Amorim, amesema hajui nini kitatokea kwenye ajira yake wakati wa mapumziko ya kimataifa.

Akijibu maswali ya wanahabari jana Ijumaa, kama alikuwa na uhakika wa kutofukuzwa wakati wa mapumziko ya kimataifa, alijibu: “Sijui nini kitatokea”

“Matamanio yangu ni kuendelea, lakini sitakuahidi chochote kuhusu siku zijazo itakuwaje”

“Lakini mimi ni Kocha wa Manchester United na nadhani hilo halitabadilika” alisema Amorim.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE