Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » MSIMU MPYA WA LIGI KUU BARA KUANZIA SEPTEMBA 17, RATIBA IPO HAPA
    KITAIFA

    MSIMU MPYA WA LIGI KUU BARA KUANZIA SEPTEMBA 17, RATIBA IPO HAPA

    ChikaoBy ChikaoAugust 29, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Kikosi Kamili cha Yanga 2025/26
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2025/26 unatarajiwa kuanza rasmi Septemba 17, 2025 kwa michezo miwili ya ufunguzi.

    KMC FC wataikaribisha Dodoma Jiji kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge  jijini Dar es Salaam, huku Coastal Union wakifungua pazia lao kwa kuvaana na Mtibwa Sugar katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

    Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Bodi ya Ligi (TPLB), msimu huu utamalizika Mei 23, 2026, ambapo bingwa mpya wa Ligi Kuu atajulikana.

    Msimu wa 2025/26 unatarajiwa kuwa na ushindani mkali zaidi, hasa ukizingatia maandalizi makubwa yaliyofanywa na vilabu vikubwa vya Kariakoo, Simba na Yanga, sambamba na Singida FG na Azam FC ambao wamekuwa na usajili kabambe.

    Ratiba kamili ya michezo inatarajiwa kutangazwa wiki ijayo, lakini tayari shauku kubwa imetanda kwa mashabiki wa soka nchini kuelekea msimu mpya.

             

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticlePITIA MAGAZETI YA MICHEZO LEO TAREHE 29 AGOSTI 2025
    Next Article SIMBA SC YAMALIZANA NA BEKI MJESHI, KIPA WA CHAN

    Related Posts

    KOCHA WA YANGA HAELEWI, VIONGOZI WABADILISHA UELEKEO

    March 25, 2026

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: TIMU YA MESSI YAMFUKUZIA BERNARDO SILVA

    KOCHA WA YANGA HAELEWI, VIONGOZI WABADILISHA UELEKEO

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.