Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป BEKI WA KAZI SIMBA SC KAMILI KUWAKABILI RS BERKANE MEI 25 2025
    KITAIFA

    BEKI WA KAZI SIMBA SC KAMILI KUWAKABILI RS BERKANE MEI 25 2025

    ChikaoBy ChikaoMay 24, 202512 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    SIMBA SC wawakilishi wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Kombe la Shirikisho Afrika, Mei 25 2025 watakuwa na kazi nzito mbele ya RS Berkane kwenye mchezo wa fainali ya pili la Kombe la Shirikisho Afrika huku beki wao akiwa kwenye asilimia kubwa kurejea uwanjani.

     Jina lake ni Abdulrazack Hamza, yupo kwenye orodha ya wachezaji ambao wanapewa nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza mara baada ya kukwama kukamilisha dakika 90 dhidi ya RS Berkane kwenye mchezo uliopita ugenini alipopata maumivu.

    Ipo wazi kwamba Mei 17 2025, Hamza alipata maumivu dakika ya 21 kwenye mchezo huo na nafasi yake ilichukuliwa na beki wa kazi Che Malone aliyekamilisha dakika zilizobaki kwenye mchezo huo ugenini.

    Simba SC kwa sasa ipo Zanzibar kwa maandalizi ya mchezo wa fainali ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika ambapo Hamza anafanya mazoezi ya nguvu pamoja na wachezaji wenzake katika kujiandaa na mchezo wa fainali ya pili Kombe la Shirikisho Afrika.

    Mchezo huo, Simba inatarajiwa kuvaana dhidi ya Berkane saa kumi kamili jioni kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar ambao wanahitaji ushindi wa 3-0 wabebe taji hilo kwa kuwa walipoteza mchezi wa kwanza kwa kufungwa mabao 2-0.

    Taarifa zinaeleza kuwa Hamza amepona majeraha yake aliyoyapata katika mchezo wa awali na kushindwa kuendelea katika kipindi cha kwanza, beki huyo amepona ana asilimia mia moja ya kucheza pambano hilo.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleTANZIA: BABA WA CEO AZAM FC ATANGULIA MBELE ZA HAKI
    Next Article SIMBA SC KUINGIA KWA MKAKATI KUWAKABILI RS BERKANE MEI 25 2025

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    View 1 Comment

    1 Comment

    1. go now on May 26, 2025 1:37 am

      I always used to read post in news papers but now as I am a user of web therefore
      from now I am using net for posts, thanks to web.

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.