Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » MASTAA YANGA SC WAKIMBIZWA KUSAKA PUMZI NA UIMARA
    KITAIFA

    MASTAA YANGA SC WAKIMBIZWA KUSAKA PUMZI NA UIMARA

    ChikaoBy ChikaoAugust 20, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    MASTAA wa kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu,Romain Folz Agosti 19 2025 walikuwa kwenye mazoezi maalumu katika fukwe za Coco Beach Dar kwa lengo la kusaka pumzi na kuwa imara zaidi.

    Ikumbukwe kwamba Yanga SC ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika.

    Msimu wa 2024/25 walikuwa chini ya Kocha Mkuu, Miloud Hamdi ambaye alipewa Thank You na mikoba yake ipo mikononi mwa Folz.

    Kwenye program ya ufukweni wachezaji walikuwa kwenye kazi kubwa chini ya kocha wa viungo Chyna Mok ambaye aliweka wazi kuwa ni mpango maalumu kuhakikisha kuwa wachezaji wanakuwa fiti asilimia kubwa.

    “Malengo yetu ni kuona kwamba wachezaji wanakuwa fiti asilimia kubwa na kila kitu kinakwenda vizuri.Tunahitaji kuwa imara hasa ukizingatia kwamba Yanga SC ni timu kubwa na wachezaji wanatambua hilo,”.

    Miongoni mwa wachezaji ambao walikuwa kwenye program hiyo ni Fardi Mussa, Bakari Nondo,Pacome, Kibwana Shomari.

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticlePITIA MAGAZETI YA MICHEZO LEO TAREHE 20 AGOSTI 2025
    Next Article MASHABIKI WA SIMBA SASA KUSAJILIWA KAMA WANACHAMA WAPYA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.