Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » WACHEZAJI WA CHELSEA WATOA BONASI ZAO KWA FAMILIA YA DIOGO JOTA
    KIMATAIFA

    WACHEZAJI WA CHELSEA WATOA BONASI ZAO KWA FAMILIA YA DIOGO JOTA

    ChikaoBy ChikaoAugust 15, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Chelsea
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Wachezaji wa klabu ya Chelsea wameamua kutoa sehemu ya bonasi zao za ushindi wa Kombe la Dunia ngazi ya Klabu kwa familia za wachezaji Diogo Jota na André Silva waliofariki kwa ajali ya gari mwezi Julai 3,2025.

    Chelsea walitwaa taji hilo julai 13 na kuvuna zaidi ya shilingi bilioni 302 za Kitanzania kama zawadi ya ushindi huku wachezaji wakitengewa bilioni 41 za Kitanzania kama bonasi.

    Wachezaji hao ambao kila mmoja anakadiriwa kupata bonasi ya Bilioni 1 walikubaliana kutoa sehemu ya bonasi hiyo kwa familia ya Jota aliyekuwa nyota wa Liverpool na mdogo wake Andre Silva waliofariki kwa pamoja Nchini Hispania.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleCHUMA CHA SIMBA, NEO MAEMA KIMEAGWA RASMI MAMELODI
    Next Article TETESI ZA SOKA ULAYA LEO IJUMAA 15-08-2025

    Related Posts

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.