HomeKITAIFABAJABER NA ALASSANE KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA YANGA

BAJABER NA ALASSANE KANTE KUUKOSA MCHEZO DHIDI YA YANGA

Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amethibitisha kuwa siku ya kesho watawakosa wachezaji wawili katika mchezo wa ngao ya jamii dhidi ya Yanga wachezaji hao ni Mohamed Bajaber na Alassane Kante.

“Bajaber ana majeraha, Allasane Kante naye pia aliumia kwenye pre season hivyo hao wawili wataukosa mchezo wa Yanga lakini Semfuko naye alikuwa ana majeraha japo amerejea mazoezini sasa hivyo yeye anaweza kuwepo kwenye mchezo huo ” – Fadlu Davids, Kocha Simba SC.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE