Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป YANGA SC YAMTAMBULISHA NYOTA WA KISHINDO CHA BILIONI 87
    KITAIFA

    YANGA SC YAMTAMBULISHA NYOTA WA KISHINDO CHA BILIONI 87

    ChikaoBy ChikaoJuly 18, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Yanga SC imekamilisha usajili wa kiungo wa CS Sfaxien ya Tunisia Balla Conte akiwa ni mchezaji wa kwanza kutambulishwa na mabingwa hao watetezi.

    Conte rasmi ni njano na kijani baada ya kutambulishwa na Yanga SC, Julai 18 2025 tayari kwa maandalizi ya msimu wa 2025/26.

    Ikumbukwe kwamba nyota huyo alikuwa anatajwa kuwa katika rada za watani wa jadi wa Yanga SC ambao ni Simba SC nao walikuwa kwenye hesabu za kuwania saini yake.

    Hivyo vita ya watani hawa wa jadi imegota mwisho na Yanga SC akiwa mshindi kwenye vita ya kwanza ya usajili kuelekea msimu mpya unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.

    Yanga SC walianza na ujumbe kuwa ni kishindo cha bilioni 87 ambacho kinakuja kwa mabingwa hao wa ligi wakiwa na mataji 31 kibindoni.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMASHABIKI WAMJIA JUU GYOKERES KISA KUHAMIA ARSENAL
    Next Article SIMBA SC KUFANYA USAJILI MKUBWA KUELEKEA MSIMU MPYA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.