Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » YANGA SC YAMALIZANA NA MASHINE YA MABAO
    KITAIFA

    YANGA SC YAMALIZANA NA MASHINE YA MABAO

    ChikaoBy ChikaoJuly 24, 202502 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Yanga
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    YANGA SC hawana jambo dogo mara baada ya kumalizana na mashine ya mabao ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayodhamiwaniwa na NBC. Msimu wa 2024/25 nyota huyo alikuwa kwenye ubora akiwa ni chaguo la kwanza ndani ya kikosi cha Tabora United.

    Ni Kiungo mshambuliaji aliyekuwa Tabora United, Offen Chikola alitambulishwa Yanga SC Julai 22 2025 kwa kandarasi ya miaka miwili.2024/25 akiwa na Tabora United alifunga mabao 8 kati ya 28 yaliyofungwa na timu hiyo. Ni nafasi ya tano kwenye msimamo pointi 38 baada ya mechi 30 ilikusanya Tabora United.

    Ipo wazi katika mchezo wa mzunguko wa kwanza, Uwanja wa Azam Complex 1-3 Yanga SC, Novemba 7 2024 mwamuzi alikuwa Nassoro Mwinchui. Chikola alifunga bao dakika ya 19 kwa mguu wa kushoto akitumia pasi ya Yacouba akiwa nje ya 18 na dakika ya 45 alifunga bao la pili kwa mguu wa kushoto akiwa ndani ya 18.

    Dakika ya 77 ni Nelson Lunganga kwa mguu wa kulia akiwa ndani ya 18. Bao pekee la kufuta machozi kwa Yanga SC lilifungwa na Clement Mzize dakika ya 90 kwa mguu wa kulia akiwa nje ya 18 akitumia pasi ya Prince Dube.

    Aziz Ki alikosa penati iliyosababishwa na Andy Bikoko baada ya kumchezea faulo Pacome. Kwenye mchezo huo dakika ya 45 Hussen Masalanga aliyeanza langoni alionyeshwa kadi ya njano kwa tafsri yakupoteza muda na kipa huyo aliokoa mkwaju wa penati ya Aziz Ki.

    Nyota wa mchezo alikuwa ni Chikola ambaye alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo na Yanga SC ikipishana na pointi tatu mazima kwenye mchezo huo zama za Miguel Gamondi ambaye kwa msimu wa 2025/26 atakuwa ndani ya Singida Black Stars.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleILE STORI YA CHAMA KWENDA AZAM FC UKWELI HUU HAPA….FEI TOTO BYE BYE?
    Next Article RASMI: YANGA YAMNASA CASEMIRO WA ZANZIBAR KUTOKA MLANDEGE!

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.